Wednesday, June 13, 2012

DOGO JANJA ARUDISHWA KWAO ARUSHA

Msanii mchanga anayetikisa kwenye anga la muziki wa Bongolfeva kwa staili yake ya HipHop kutoka mkoani Arusha anayejulikana kwa jina maarufu la Dogo Janja arudishwa kwao Arusha. Dogo janja ambaye alikuwa akisoma shule ya sekondari Makongo na alikuwa akisimamiwa kazi zake za muziki pamoja na shule na kundi zima la TipTop chini ya Madee ametuhumiwa kwa tabia mbaya ya utoro shuleni pamoja na kukiuka misingi ya mikataba na kundi hilo hivyo wameamua kumrudisha kwao Arusha kuepuka lawama kutoka kwa wazazi pamoja na jamii kwa ujumla kwani wao ndio waliomleta Dar na waliahidi kusimamia kila kinachomhusu Dogo Janja ikiwemo shule.

No comments:

Post a Comment